iqna

IQNA

Al Kauthar
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Usajili wa toleo la 17 la mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani yanayoandaliwa na Televisheni ya Al-Kawthar ulifunguliwa Jumatano iliyopita, sambamba na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Hazrat Zahra (SA).
Habari ID: 3478168    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08

TEHRAN (IQNA)- Majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al Kauthar ya Iran wametangazwa.
Habari ID: 3473802    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11

TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji wa Qur'ani) kutoka Iraq ameibuka mshindi katika Duru ya 12 ya mashindano ya kimataifa ya kusoma Qur'ani (qiraa) ambayo hufanyika mubashara au moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran.
Habari ID: 3471989    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/07

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 12 ya mashindano ya kimataifa ya kusoma Qur'ani (qiraa) ambayo hufanyika mubashara au moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran yanatazamiwa kuwa na washiriki 250 mwaka huu.
Habari ID: 3471935    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/30